• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe ya ofisi |
Mpanda District Council
Mpanda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasissi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu, ufuatiliaji na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Kitengo
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Miradi ya Elimu
    • Usafirishaji
    • Ufugaji Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Leseni za Biashara
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Matumizi Bora ya Ardhi
    • Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Kitaifa
    • Video za Shughuli za Halmashauri
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Gazeti la Mpanda Leo
    • Makala Mbalimbali

Tangazo la uuzwaji wa viwanja vilivyopo Majalila, Kasekese, Ikola na Karema.

30 November 2017

MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MPANDA ANAWATANGAZIA WANANCHI WOTE KUWA VIWANJA KWA AJILI YA MATUMIZI MBALIMBALI VINAPATIKANA KATIKA WILAYA YA TANGANYIKA. VIWANJA HIVYO NI KWA AJILI YA MAKAZI, BIASHARA, MAKAZI NA BIASHARA, TAASISI, VIWANDA VIDOGO VIDOGO, MAHOTELI NA HUDUMA ZA KIJAMII. VIWANJA HIVYO VINAPATIKANA KATIKA MAENEO YA MAKAO MAKUU YA WILAYA (MAJALILA), KASEKESE, IKOLA NA KAREMA

BEI ELEKEZI YA VIWANJA HIVYO NI KUANZIA SHILINGI 700,000/= (MAJALILA), SHILINGI 559,500/= (IKOLA NA KAREMA) NA SHILINGI 342,000/= (KASEKESE). GHARAMA HIZI NI PAMOJA NA GHARAMA ZA HATI MILIKI.

KWA YEYOTE ATAKAYEHITAJI VIWANJA HIVYO ATATAKIWA KUJAZA FOMU YA MAOMBI NA KUITUMA AU KUIWASILISHA KWA MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MPANDA. GHARAMA ZA FOMU HIZO NI SHILINGI ELFU KUMI (10,000/=) TU. FOMU ZINAPATIKANA OFISI ZA IDARA YA ARDHI NA MALIASILI - HALMASHAURI YA WILAYA YA MPANDA .

 PAKUA NAKALA HAPA: TANGAZO LA VIWANJA .pdf

KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA ANUANI ZIFUATAZO:

MKURUGENZI MTENDAJI,

HALMASHAURI YA WILAYA YA MPANDA,

S.L.P 1,

MPANDA

SIMU NAMBA: 025 2820068

BARUA PEPE: ded@mpandadc.go.tz

Au tembelea website yetu: www.mpandadc.go.tz

IMETOLEWA NA:

 

Romuli Rojas John

MKURUGENZI MTENDAJI

HALMASHAURI YA WILAYA YA MPANDA


NYOTE MNAKARIBISHWA

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA HALMASHAURI YA WILAYA YA MPANDA November 17, 2020
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI December 16, 2020
  • WANAFUNZI WALIYOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA, 2021 HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA December 19, 2020
  • KUITWA KAZINI WATUMISHI WA KADA YA AFYA HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA December 21, 2020
  • Tazama zote

Habari mpya

  • KMCL KUWAINUA KIUCHUMI WACHIMBAJI WADOGO

    March 02, 2021
  • KIWANDA CHA PAMBA KUTOA MSAADA KWA JAMII

    March 02, 2021
  • 5.7 BIL KUKUSANYWA 2021/2022

    January 29, 2021
  • WANANCHI WANUFAIKA NA HELA ZA 'UKAA'

    January 08, 2021
  • Tazama zote

video

DC wa Tanganyika asisitiza michezo katika kata ya Bulamata
Video nyingine

Mawasiliano ya Haraka

  • Taarifa kwa Umma
  • Orodha ya Madiwani
  • Gazeti la Mpanda Leo
  • Habari Mpya
  • Mwanzo
  • Matukio
  • Matangazo

Kurasa zinazofanana

  • Tovuti ya Ikuli
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi Tanzania
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti kuu ya Serikali

Wasomaji Mbalimbali Dunia

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free visitor counters

Dira ya Ramani

Wasiliana Nasi

    Mpandadc

    Sanduku la barua: 1 Mpanda

    Telephone: 025-2820068

    Simu ya mkononi: 0784428273

    Barua pepe: ded@mpandadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Test

Copyright ©2018 mpanda dc . All rights reserved.