• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe ya ofisi |
Mpanda District Council
Mpanda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasissi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu, ufuatiliaji na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Kitengo
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Miradi ya Elimu
    • Usafirishaji
    • Ufugaji Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Leseni za Biashara
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Matumizi Bora ya Ardhi
    • Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Kitaifa
    • Video za Shughuli za Halmashauri
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Gazeti la Mpanda Leo
    • Makala Mbalimbali

Mwenge 2019 wapita Tanganyika kwa kishindo

Posted on: April 16th, 2019

WANANCHI TANGANYIKA WAPOKEA MWENGE  2019  KWA KISHINDO

Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru 2019, Mzee Ali amewasifu wananchi wa Halmashauri ya wilaya ya Mpanda (Tanganyika ) kwa kujitokeza na kushiri kupokea na kukimbiza Mwenge. Pongezi hizo zimetolewa  Aprili 16, 2019 wakati wa makabidhiano ya Mbio za Mwenge kati ya Mkoa wa Katavi na Kigoma.

“Wananchi wa Tanganyika walijipaka haswaa na wanajua nini maana na umuhimu wa Mwenge. Wametupokea vizuri na kila tulipopita tulikuta wananchi wamejipanga jiani na kikubwa zaidi wametuandalia hadi urojo, tumejihisi tupo Zanzibar.” Alisema Ali.

Mwenge wa Uhuru umezindua, kuweka mawe ya msingi na kutembelea na kukagua jumla ya miradi 13 yenye thamani ya shilingi 2,987,469,044.93. Miradi yote imekubaliwa bila tatizo kwani ilikuwa kwenye viwango vinavyokubalika.

Aidha, viongozi wa wilaya ya Tanganyika walipongezwa kwa kusimamia vizuri miradi ya wananchi kwani serikali ya awamu ya tano haitaki watu wanaochezea hela za wananchi.

Mwenge wa Uhuru ulipokelewa wilayani Tanganyika katika viwanja vya shule ya sekondari Kabungu ukitokea Halmashauri ya wilaya ya Manispaa ya Mpanda na kukesha katika viwanja vya mpira Ifumbula ambapo umekimbizwa wilayani Tanganyika kwa jumla ya 231.4 kilometa.

Wananchi wa wilaya ya Tanganyika walikuwa na shauku ya kuupokea Mwenge, kulikuwa na vikundi vya burudani vya wananchi wenyeji zaidi ya 20, seti 3 za mziki , sinema na burudani mbali mbali. Watu hawakulala na waliburudika kuanzia mchana hadi asubuhi.

Naye mratibu wa Mwenge wa Halmashauri ya wilaya ya Mpanda (Tanganyika) Bw. Sylvanus Ntiyakenye ameeleza siri ya kufanikisha sherehe za mbio za Mwenge kuwa ni kuwashirikisha wadau mbali mbali wa maendeleo na wanakamati kwa kuwaweka wazi hasa katika matumizi ya michango waliyochangia.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA HALMASHAURI YA WILAYA YA MPANDA November 17, 2020
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI December 16, 2020
  • WANAFUNZI WALIYOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA, 2021 HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA December 19, 2020
  • KUITWA KAZINI WATUMISHI WA KADA YA AFYA HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA December 21, 2020
  • Tazama zote

Habari mpya

  • Kahawa ya Mwese (Tanganyika) yapata soko Ulaya

    July 13, 2019
  • Kilimo cha migomba-Mwese

    July 13, 2019
  • Mpanda DC yakusanya 75.19% ya mapato

    July 12, 2019
  • TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA TASAF AWAMU YA TATU MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI KWA KIPINDI CHA JULAI 2014 HADI APRILI 2019

    May 23, 2019
  • Tazama zote

video

DC wa Tanganyika asisitiza michezo katika kata ya Bulamata
Video nyingine

Mawasiliano ya Haraka

  • Taarifa kwa Umma
  • Orodha ya Madiwani
  • Gazeti la Mpanda Leo
  • Habari Mpya
  • Mwanzo
  • Matukio
  • Matangazo

Kurasa zinazofanana

  • Tovuti ya Ikuli
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi Tanzania
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti kuu ya Serikali

Wasomaji Mbalimbali Dunia

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free visitor counters

Dira ya Ramani

Wasiliana Nasi

    Mpandadc

    Sanduku la barua: 1 Mpanda

    Telephone: 025-2820068

    Simu ya mkononi: 0784428273

    Barua pepe: ded@mpandadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Test

Copyright ©2018 mpanda dc . All rights reserved.