Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Mpanda, Romuli Rojas John ( wa kwanza kutoka kushoto) amekabidhiwa funguo za magari mawili kutoka kwa Mbunge wa Mpanda vijijini mhe. Moshi Kakoso. Magari hayo yametolewa na serikali kuu kwa ajili ya kuimarisha utendaji kazi katika Halmashauri ya wilaya ya Mpanda.
TONGWE - MAJALILA
Sanduku la barua: S.L.P 01 KATAVI - TANGANYIKA
Telephone: +255-252955264
Simu ya mkononi: 0754870344
Barua pepe: ded@tanganyikadc.go.tz
Copyright ©2018 Tanganyika-DC . All rights reserved.