Wajumbe wa kamati ya afya Mwese wamejipanga kukamilisha ujenzi na ukarabati wa kituo cha afya kwa wakati. Hayo yalisemwa mbele ya Mkurugenzi Mtendaji wakati wa ziara ya kikazi iliyofanyika Mei 18, 2018.
TONGWE - MAJALILA
Sanduku la barua: S.L.P 01 KATAVI - TANGANYIKA
Telephone: +255-252955264
Simu ya mkononi: 0754870344
Barua pepe: ded@tanganyikadc.go.tz
Copyright ©2018 Tanganyika-DC . All rights reserved.